Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bondia Canelo amkalisha Saunders

Jumapili , 9th Mei , 2021

Ngumi kali ya kati kwenda juu ya Saul 'Canelo' Alvarez ilitosha kumchakaza Billy Joe Saunders aliyefadhaika akishindwa kuinuka kutoka kwenye kiti chake baada ya raundi nane za pambano lao la kuwania taji la ubingwa wa duania la umoja ‘Unification bout’.

Pambano wakati likiendelea.

Baada ya Saunders kuachia mwanya, Canelo raia wa Mexico alirusha ngumi mithili ya risasi ambayo ilisababisha uvimbe wa haraka juu ya jicho la kulia la Bondia huyo wa Uingereza.

Mkufunzi wa Saunders aliamua kusimamisha pambano hilo, kwani bondia wake hakuweza kuona tena kwa wakati huo. Huku akishuhudiwa na watu takriban elfu 73,126 waliohudhuria pambano hilo Saunders alishindwa kabisa kunyanyuka kwenye kiti kuendelea na pambano hilo.

Saul 'Canelo' Alvarez akiwa na mikanda yake

Alvarez mwenye umri wa miaka 30 alisema, alipoenda kwenye kona yake ya kupumzikia alimwambia mkufunzi wake Eddie Reynoso kwamba anahisi amevunjika shavu kutokana na hali aliyokua akiihisi kwenye kimywa chake.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali