Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Binti (12) abakwa na kuuliwa Mwanza

Alhamisi , 16th Mar , 2023

Binti wa miaka 12 amefariki kwa kubakwa na kuchomwa kisu na watu wasiojulikana huko Pasiansi, Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.

Inadaiwa wabakaji hao walimvamia usiku anapoishi na bibi yake na kumbaka kisha kumchoma kisu shingoni kitendo kilichompelekea kupoteza  maisha wakati bibi yake akiwa kwenye shughuli zake za kuuza chakula.

Akielezea tukio hilo Bibi wa muathirika wa tukio hilo, Bi Mwanne Hassan amesema alimkuta mjukuu wake akiwa amelala mlango wazi lakini hata alipomuita hakuitika.

 "Nilipomaliza biashara nakurudi ndipo nilikuta mlango wazi, ilikuwa saa saba usiku nikafika nikasema mbona mlango upo wazi? Nikaingia ndani nakumuita lakini hakuitika, nikamshika nikaona amelegea hasemi kitu nikapiga kelele watu wakaja nikawauliza hamkusikia chochote? tulipompeleka pale Sabatho hospitali wakamuangalia kumbe walikuwa wamemjeruhi wamechoma kisu shingoni na kumbaka"

Kwa upande wa mama mzazi wa marehemu  amesema hakuwahi kulitegemea jambo hilo na kwamba limemuumiza kwani binti huyo anayemtaja kuwa ni mwanae wa kwanza alifanyiwa ukatili mkubwa sana.

Mwenyekiti wa mtaa wa Pasiansi Isaya Limbe amekiri kutokea kwa tukio hilo ambapo tukio hilo limetokea na kuahidi kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika kuwabaini wahusika wa tukio hilo
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali