Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bidhaa za misitu lazima zipigwe chapa - Waziri

Jumatatu , 4th Jul , 2022

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana, amewataka watengenezaji wote wa bidhaa za misitu nchini wahakikishe kuwa wanaweka alama inayoonesha bidhaa zao  zimetengenezwa Tanzania yaani "Made in Tanzania" ili bidhaa hizo zijulikane kuwa zimetengenezwa Tanzania.

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana

Balozi Dkt.Balozi Pindi Chana ametoa kauli hiyo wilayani Mufindi wakati wa ziara ya kikazi ya kutembelea kiwanda cha Dazhong Hood, kinachozalisha bidhaa zinazotokana na misitu na kubaini kuwa bidhaa zinazozalishwa na kiwanda hicho hazina alama inayoonesha kuwa zimetengenezwa Tanzania.

Waziri Chana amemtaka mmiliki wa kiwanda hicho Bw. Wu Bing ambaye ni raia kutoka China atekeleze agizo hilo na azingatie sheria, kanuni na taratibu za Tanzania. 

Mbali na agizo hilo Waziri Balozi Dkt. Pindi Chana amepongeza juhudi za uhifadhi wa misitu nchini zinazofanywa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)  na kuitaka taasisi hiyo  ieendelee kushirikiana na halmashauri za wilaya, wadau mbalimbali na wananchi katika jukumu la kuhifadhi misitu, kusimamia viwanda vya bidhaa zinazotokana na misitu ziwe na alama inayo onesha kuwa zimetengenezewa nchini Tanzania.

Kwa upande wake Mbunge wa Mafinga Mjini Mhe. Cosato Chumi amesema  sekta ya misitu ina mchango mkubwa kwa wananchi hasa wa Mafinga kwa kutoa  ajira nyingi na mchango mkubwa kwenye Mapato ya Halmashauri hiyo kwa asilimia 60,  hivyo yeye kama mwakilishi wa wananchi ataendelea kushirikiana  na Wizara katika uhifadhi wa Maliasili hiyo.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu