Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bavicha wampa JPM sharti hili

Jumatano , 21st Jun , 2017

Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) limedai kwamba Baraza hilo litampongeza Rais John Magufuli endapo vigogo wote waliohusika katika sakata la hilo watafikishwa kwenye vyombo vya dola.

Mwenyekiti wa BAVICHA, Patrobas Katambi

Akiongea na vyombo mbalimbali vya habari leo jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Baraza la vijana Chadema (BAVICHA), Patrobas Katambi amesema kuwa wanapenda kuona ufisadi ukishugulikiwa kikamilifu akitolea mfano hatua zilizochukuliwa katika sakata la akaunti ya Tegeta ESCROW, IPTL na mchanga wa madini Makinikia.

Bavicha wamesema kuwa vita ya ufisadi itakuwa na tija endapo wahusika wote walio husika katika kuingiza taifa kwenye mikataba mibovu watachukuliwa hatua, nakumtaka rais kutowafumbia macho hasa wale waliopo ndani ya chama cha CCM kwani bila kufanya hivyo bado ufisadi utalisumbua taifa.

Pamoja na hayo BAVICHA wamelaani kitendo cha kuwekwa ndani kwa masaa 48 Meya wa Ubungo, Mhe. Boniface Jacob, na kutangaza kumfungulia mashtaka mkuu wa wilaya ya Ubungo ndugu Kisare Makori na kutaja kitendo hicho kama nimatumizi mabaya ya madaraka.

Meya wa Ubungo, Boniphace Jacob

Bwana Katambi amesema kosa analotuhumiwa Jacob limekuwa likifanywa mara kadhaa na viongozi wa CCM kufanya siasa za chama kwenye majengo ya Serikali.

“Si kweli kwamba meya alikuwa anafanya siasa alitembelewa na viongozi wengine wa Chadema akawa anawaonyesha mazingira yake ya kazi, ghafla likaja agizo akamatwe, tunaomba tabia hii ikome na safari hii tutachukua hatua,”amesema Katambi.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali