Basi la Tanzanite lililopata ajali
Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida ACP. Stella Mutabihirwa, mapema hii leo na kusema gari hilo lilikuwa kwenye mwendo mkali hali iliyopelekea dereva kushindwa kulimudu na ndipo tairi la upande wa kulia lilipopasuka na basi kwenda kugonga tuta lililokuwepo pembezoni mwa barabara.
Kamanda Mutabihirwa, amesema kwamba katika ajali hiyo jumla ya watu 15 wamejeruhiwa katika ajali hiyo na kusema bado madereva wamekuwa wakiendesha kwa mwendo wa hatari bila kuchukua tahadhari, na kuwasihi madereva wafuate sheria za barabarani.