Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba amchinja mwanaye na yeye kufariki

Alhamisi , 19th Nov , 2020

Mtoto mwenye umri wa miaka 9, mkazi wa Kitongoji cha Batini, wilayani Gairo, mkoani Morogoro, amenusurika kifo baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya shingoni na baba yake mzazi aliyefahamika kwa jinala Yakobo Taolo (38), huku chanzo kikidaiwa kuwa ni imani za kishirikina.

Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro, SACP Wilbroad Mutafungwa.

Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro SACP Wilbroad Mutafungwa, amesema kuwa tukio hilo limetokea Novemba 15 mwaka huu, majira ya 7:00 usiku ambapo baba wa mtoto huyo alivamia chumba alicholala binti yake huyo, anayesoma darasa la pili katika shule ya msingi Kibedya na kuanza kumshambulia kwa sime ambapo kwa sasa anapatiwa matibabu katika kituo cha afya Gairo

Kamanda Mutafungwa ameongeza kuwa mara baada ya baba huyo kutekeleza tendo hilo la kutaka kuua alitokomea pasipojulikana kabla ya jeshi la polisi kumkamata akiwa nyumbani kwa Robart Chidaka 45, mkazi wa kibedya ambaye anashikiliwa na jeshi hilo.

Kamanda Mtafungwa amesema kuwa baada ya baba huyo kushikiliwa na jeshi la polisi, alianza kuumwa na kukimbizwa katika kituo cha afya Gairo kwa ajili ya matibabu na baadaye aligundulika kuwa na tatizo la kupumua na ilipofika alfajiri ya Novemba 16 mtuhumiwa huyo alipoteza maisha.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto