![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2024/06/25/KENYAA WEEB.jpg?itok=Y8J9ARhd×tamp=1719319748)
Kenya
Maandamano hayo yanayoongozwa na vijana wanaojiita 'Gen Z' yanapinga kupitishwa kwa Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2024/2025 wakieleza kuwa unakandamiza Wakenya walio wengi.
Aidha imeelezwa baadhi ya waandamanaji hao waliopenya bungeni wameanza kula chakula cha wabunge kisha waendelee kuandamana