Jumanne , 25th Jun , 2024

Waandamanaji kadhaa wameuawa  kwa risasi nchini Kenya baada ya kuwazidi nguvu askari na kuingia bungeni.

Kenya

Maandamano hayo yanayoongozwa na vijana wanaojiita 'Gen Z' yanapinga kupitishwa kwa Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2024/2025 wakieleza kuwa unakandamiza Wakenya walio wengi.

Aidha imeelezwa baadhi ya waandamanaji hao waliopenya bungeni wameanza kula chakula cha wabunge kisha waendelee kuandamana