Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini SACP David Misime,
Taarifa hiyo imetolewa leo Novemba 30, 2021, na Msemaji wa Jeshi hilo SACP David Misime, na kusema tangu taarifa zilizoeleza kwamba askari wamegeuza simu za wizi kuwa miradi binafsi zitolewe jeshi hilo lilianza kufuatia.
Tazama video hapa chini