Mchungaji wa kanisa la Chemchemi Israel Mlaki
Wakizungumza baada ya vizuizi hivyo kuondolewa, baadhi ya wananchi wa mtaa huo wamesema kuwa wameteseka kwa muda mrefu na sasa wanaona kama wamepata Uhuru, huku mchungaji Mlaki anayedaiwa kuziba barabara hiyo akikataa kuhojiwa.