Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyekuwa ananunua mahindi kwa bei juu akamatwa

Jumamosi , 14th Nov , 2020

Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma, linamshikilia Christopher Njako (20), maarufu kama Bilionea wa Mkako kwa kosa la kutakatisha fedha baada ya kufanya biashara ya mahindi, akinunua mahindi hayo kwa zaidi ya Tsh. 70,000 kwa kila gunia na kisha kuuza kwa Tsh. 42,000 kwa kila gunia.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, ACP Simon Marwa Maigwa.

Akizungumza na EATV Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, ACP Simon Marwa Maigwa, amesema kuwa baada ya wananchi kuona kijana huyo akinunua mahindi kwa bei nzuri walianza kumuamini na kukimbilia kwake kuuza mahindi, huku wengine wakimkopesha lakini alishindwa kuwalipa hela zao na ndipo malalamiko yalipoanza.

"Biashara imekwenda ilipofika mwanzoni mwa mwezi wa 10, yakajitokeza malalamiko kwamba kuna watu wanamdai, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa ikamsimamisha kununua mahindi ili alipe kwanza madeni ya wakulima na wafanyabiashara wa mahindi lakini alikuwa anatoa ahadi zisizotetelezeka", amesema ACP Maigwa.

Aidha Kamanda Maigwa ameongeza kuwa, " Alijaribu kutoroka kitendo ambacho kiliashiria kabisa ni nia mbaya, watu wanaomdai ni zaidi ya 1200 na pesa anazodaiwa kuwa ni zaidi ya Bilioni 1.3, kitendo hicho kilileta mashaka baada ya hapo alikamatwa kwa makosa ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, utakatishaji wa fedha na atafikishwa mahakamani".
  

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali