Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 7, 2021, aliposhiriki maadhimisho ya kilele cha matembezi ya miaka 58 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar, yaliyofanyika wilaya ya Mkoani, Kusini Pemba, huku akisisitiza kwamba ni jambo la aibu kwa kijana kukaa bila kazi kwa nchi kama Tanzania yenye fursa nyingi za kazi.
"Ni aibu kwa kijana kukaa bila kazi," amesema Rais Samia