Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ahukumiwa jela maisha kwa kumbaka mtoto wake

Jumatatu , 26th Sep , 2022

Mahakama ya wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza imemhukuhumu kifungo cha maisha jela, Alphonce Ngassa maarufu kama Dutwa mwenye umri wa miaka (51) kwa kosa la kumnajisi (kumbaka) mtoto wake wa kike (9) kwenye nyumba ya kulala wageni ya Lala Unono.

Mshtakiwa huyo anadaiwa kumuweka binti yake katika nyumba hiyo na kumfanyia vitendo hivyo kwa kipindi cha mwezi mmoja.

Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya Nyamagana,  Juma Mpuya amesema mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo mwishoni mwa mwaka jana ambapo jumla ya mashahidi sita akiwemo  mtoto aliyefanyiwa kitendo hicho walitoa ushahidi wao katika mahakama hiyo.

Kutokana na ushahidi wote uliotolewa mahakamani hapo, mahakama hiyo ilijirisha pasipo kuacha shaka kwamba mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo na hivyo kumtia hatiani.

Kwa upande wake, Mwendesha mashtaka wa serikali,  Ghati Mathayo akaiomba mahakama hiyo itoe adhabu kali kwa mshtakiwa kutokana na kufanya kitendo kibaya kwa mtoto wake wa kumzaa ambaye ni mdogo na inadaiwa amemharibu sehemu zake za siri ikiwemo na kumharibu kisaikolojia kwa kumnajisi mwezi mzima.

Kutokana na ushahidi pamoja na maelezo ya mwendesha mashtaka mahakama ikamhukumu  kifungo cha maisha jela mshtakiwa huyo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi