Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

 Manara akumbukia manyanyaso ya Yanga

Jumapili , 27th Mei , 2018

Afisa Habari wa Klabu Bingwa Tanzania Bara, 2018/2019Simba, Haji Manara leo amekumbukia machungu ya majina ya utani waliyokuwa wakipatiwa na watani zao wa jadi, Klabu ya Yanga na kuwauliza kama kwa sasa wana uwezo wa kuendelea na kuwaita majina hayo likiwepo lile la 'wa Matopeni'.

Manara ameweka wazi kuwa amekumbuka kauli hizo na kwamba kwa sasa wanapaswa kutulia ili aweze kuwanyoosha kwani anaamini kuwa Mungu ni fundi kwenye kila jambo.

"Zama za kusema sisi wa matopeni nyie wa kimataifa bado zipo? nimekumbuka ile kauli ntasajili wachezaji wenu wote kazi yao iwe kwenda coco beach..au ile ya kumpokea kocha airport wakati wetu tunampokea Ubungo" Manara.

Manara ameongeza "Au niwakumbushe lile jina la kutuita cc wazee wa Yutong!! Hakika Mungu ni fundi sana..zamu yetu hivi sasa..tulieni kidume niwanyooshe..".

Utani wa Haji Manara kwa Yanga ni muendelezo wa utani wake tangu simba ilipotangazwa kuwa bingwa wa VPL 2018/2019 baada ya kuwavua ubingwa huo watani zao hao.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali