Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania 80% kupata elimu ya fedha ifikapo 2025.

Jumapili , 20th Nov , 2022

Kamishna wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha katika Wizara ya Fedha na Mipango ya Tanzania Dkt. Charles Mwamaja amesema kwamba serikali inapanga kuelimisha asilimia 80 ya watu ili kufahamu maswala ya fedha ifikapo 2025 kupitia utekelezaji wa mpango wa elimu ya kifedha.

Akiongea na wanahabari mjini Dodoma kuelekea Wiki ya Pili ya Huduma za Kifedha ya Kitaifa iliyofanyika jijini Mwanza, Dkt. Mwamaja amesema kuwa asilimia zaidi ya 40 ya wananchi hawana elimu ya masuala ya fedha licha ya jukumu kubwa la shughuli za kifedha katika maendeleo ya taifa.

Dkt. Mwamaja ameongeza kuwa ujuzi wa masuala ya fedha umesaidia mtu kuwa na usimamizi wa fedha binafsi kama vile bajeti za kaya, kadi za mikopo, bima, bajeti ya serikali, kukopa, kukopesha, kuwekeza, kodi na huduma za mikopo. Pia amesema ujuzi huo ni muhimu kwa maendeleo shirikishi na yenye maana ya kijamii na kiuchumi ya nchi husika kwa misingi endelevu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali