Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watafiti wasisitiza nchi ijenge viwanda

Jumanne , 2nd Aug , 2022

Watafiti Nguli nchini Tanzania wasema kwa sasa nchi inatakiwa kuzidi kuongeza viwanda vingi ili kuongeza thamani ya rasilimali za asilia nyingi zinazopatikana kwenye mikoa mbalimbali ikiwemo gesi asilia, madini, Kilimo, pamoja na mafuta ili kukuza uchumi wa Taifa.

Tafiti zinaonesha kuwa wachimbaji wadogo wa madini bado hawajaweza kunufaika kwenye sekta hiyo kutokana na kuuza madini ambayo hayajaongezewa thamani hali ambayo sasa imewaketisha pamoja watafiti Nguli kutoka Taasisi ya Repoa kutoa mafunzo Kwa wadau wa kutoka mashirika mbalimbali kuzitazama sera na namna gani kama nchi inaweza kunufaika na rasilimali za asilia.

Hata hivyo Dk Peter Kafumu  aliyewahi kuwa Kamishna wa madini nchini amesema ugumu wa sera unatokana katika kuweka mzani sawa kati ya wawekezaji wanaokuja pamoja na wananchi Kwa pamoja kuweza kunufaika na rasilimali ambazo zinatajwa kuisha endapo mipango thabiti itachelewa.

Kwa upande wao washiriki mafunzo hayo wamesema uwekezaji unatakiwa katika teknolojia,ushirikishwaji wa wananchi na watunga sera Hali itakayoondosha mikataba mibovu iliyokuwepo hali  itakayoongeza ajira.
Ili uchumi ukuwe watafiti wanashauri lazima sera ziwe Shirikishi Kwa rasilimali zinaisha.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali