Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wataalam kutoka Saudi Arabia wawasili Tanzania

Alhamisi , 11th Aug , 2022

Serikali kupitia Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimepokea ujumbe wa timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Kilimo, Maji na Mazingira ya Saudi Arabia

Ujumbe huo unaongozwa na Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia Ali Jabil Mwadini ili kufanya kikao shirikishi chenye lengo la kuchagiza uwekezaji kwa pande zote mbili katika sekta za Uvuvi, Kilimo na Sekta ya wanyama pori.

Akitofa ufafanuzi Kaimu Mkurugenzi Uhamasishaji Uwekezaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Revocatus Rasheli amesema lengo la  ujumbe huo ni kuja na mfumo shirikishi pamoja na  Taasisi za Serikali pamoja na Sekta Binafsi. 

Ujumbe huo umefika Tanzania kufuatia ziara ya Liberata Mulamula, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki mwezi Machi 2022 alipokutana na uongozi wa Wizara ya Kilimo, Maji na Mazingira ya Saudi Arabia wakiafikiana kuzikutanisha timu hizo za  Wataalamu kutoka Wizara hiyo pamoja na Taasisi zilizopo chini yake watembelee Tanzania kuangalia maeneo ya uwekezaji na ushirikiano.

Wataalamu hao wamefika kuangalia mazingira na taratibu za usafirishaji wa mifugo hai ili kujiridhisha iwapo Tanzania inaweza kupewa kibali cha kuingiza mifugo hai katika soko la Saudi Arabia.

Aidha, wataalamu hao wataangalia fursa za uwekezaji katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi na namna ya kushirikiana katika sekta ya wanyama pori
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu