Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaofanya massage bila leseni wajisalimishe

Jumatano , 15th Mar , 2023

Mstahiki meya wa Kinondoni Songoro Mnyonge amewataka wadada waliokuwa wakifanya biashara ya kuuza miili yao kupitia madungulo kujiandikisha majina yao kupitia serikali za mitaa wanayotoka ili kuwabaini rasmi kwa ajili ya kupatiwa mikopo.

Msitahiki meya wa Kinondoni Songoro Mnyonge

Utakumbuka siku chache Meya huyu aliibuka na sakata la wadada wanafanya biashara hiyo eneo la minazini kata ya makumbusho na kutoa maagizo moja ikiwataka wamiliki wa nyumba hizo kujisalimisha  na pia wadada hao kufika ofisini kwake ili wapatiwe mikopo waachane na biashara hiyo...

Hii leo nimefika kujua hatma ya tamko lile huku mstahiki meya akibainisha kuwa watu walijazana ofisini wengine hata wakiwa sio sehemu ya wadada wale na kuamua sasa kuwarejesha wote waanzie kwenye serikali zao za mitaa ili kuwabaini kila mmoja wapi anatokea...

Sambamba na hilo Meya huyo amewataka wale wote wenye vituo vya kufanyia watu massage na havijasajiliwa wala kuwa na leseni wajisalimishe mara moja, kwani kufanya hivyo wanaikosesha serikali mapato.

Aidha Mnyonge ameyasema hayo kufuatia operesheni iliyofanyika kimyakimya na kubaini uwepo wa nyumba nyingi zinazofanya huduma ya massage na matendo ya ngono zembe.

Licha ya jitihada za kuzitafuta baadhi ya nyumba hizo za Massage kusema na watoa huduma hiyo lakini ushirikiano umekuwa hafifu wengi hawakutaka kurekodiwa

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya