
Hayo yamebainishwa na Taasisi ya Taarifa ya Masoko Kigitaki AGROMOVIL Baada ya Kukutana na Umoja wa Wakulima wa Zao la Parachichi NSHDA yenye wakulima zaidi ya Elfu Tano na Kuwataka Wakulima Hao Kutumia Teknolojia ya Kisasa Kwani Humsadia Hata Mkulima Kutuna Kumbukumbu zake
Mkurugenzi Asasi ya wakulima mkoa wa Njombe na Bwanashamba kutoka Taasisi ya Maendeleo ya mazao ya Mboga, Matunda na Viungo (TAHA) wanasema mfumo wa masoko ya kidigitali utaondoa madalali wanao tarajia kutengeneza faida.
Baadhi ya Washiriki wa Mafunzo hayo wamesema mfumo huo utawaongezea tija katika kilimo wanachokifanya.