Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara Zanzibar waonywa kupandisha bei

Jumatatu , 9th Aug , 2021

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdallah amesema serikali haitomvumilia mfanyabishara yoyote atakayekwenda kinyume na bei elekezi zinazotolewa na Serikali.

Picha: Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman (wa pili kushoto)

Kauli hiyo inakuja kufuatia viongozi na wanachama wa CCM kuiomba serikali kulipatia ufumbuzi tatizo la kupanda bei bidhaa lilitolewa katika kikao maalum kilichofanyika katika ofisi za CCM Amani Mkoa.

"Tumegundua kuna ujanja unafanywa na wafanyabiashara, na hatutaki kuona bei hizo zinapanda kiholela kinyume na utaratibu viongozi wenzangu nakuombeni msione serikali imekaa kimya, serikali tupo makini kwa hilo na tunalisimamia hilo ipasavyo na hatutomuonea haya au vibaya mtu yeyote ambaye atakiuka utaratibu na maelekezo ya serikali," amesema Mhe. Hemed.

Pia Mhe. Hemed alisema kuwa Serikali imeshatoa maelekezo kwa Wizara husika kwa ajili ya kupanga namna bora ya bei za bidhaa ili zisiwaumize wananchi kwa ujumla.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi