Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara wavunjiwa vibanda vyao

Jumatatu , 17th Apr , 2023

Zaidi ya wafanyabiashara 62 waliokuwa wakifanya biashara zao katika soko la Kigogo Luhanga jijini Dar es Salaam, wamevunjiwa vibanda vyao kwa kile kilichodaiwa kwamba wamekuwa wakifanya biashara kwenye eneo hilo kinyume na sheria ambalo wamelivamia na ni mali ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Mabaki ya vibanda vilivyobomolewa

Vibanda hivyo vimevunjwa alfajiri ya leo Aprili 17, 2023, na serikali, ambapo wafanyabiashara hao wamesema wamevunjiwa bila kupewa taarifa hali iliyopelekea kupata hasara kwani wengi wao walikuwa wakilaza bidhaa zao sokoni hapo.

Wakizungumza na EATV katika eneo hilo wafanyabiashara hao wamesema kuvunjiwa kwa  mabanda yao bila kupewa taarifa Ili wajiandae kwa kuondoa mali zao kumesababisha wapate hasara kwa kupoteza mali zao.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa soko hilo akizungumza amesema hali za wafanyabiashara hao kwa sasa kiuchumi zimekuwa mbaya kwani mitaji ya biashara zao imepotea kwa kuwa bomoa bomoa hiyo haikuzingatia wala kujali mali zilizokuwepo ndani ya soko na hivyo kuamua kubomoa na kuharibu mali hizo

Naye Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Matokeo, Kata ya Mabibo ambako ndiko soko hilo lipo Mfaume Mohamedi amesema kuvunjwa kwa soko hilo ni matokeo ya ushindi walioupata mahakamani  CCM ambao walifungua kesi ya kudai eneo lao na kushinda kesi hiyo.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya