Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara mitumba washangilia kampeni

Ijumaa , 4th Sep , 2020

Baadhi ya wafanyabiashara wa viatu vya mitumba, mikoba katika eneo la Makumbusho Jijini Dar es Salaam wamesema kwa sasa hali ya biashara imeanza kurejea katika mzunguko wake wa kawaida kutokana na fursa mbalimbali zinazojitokeza tofauti na kipindi kifupi kilichopita cha wakati wa uwepo wa

Wafanyabiashara hao wamesema tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi kwao unafuu fulani umekuwepo kibiashara kutokana na watu kupata nafasi ya kuzunguka huku na huko ukilinganisha na kipindi ambacho watu wametoka katika corona.

"Afadhali kwa sasa biashara inaenda tukienda kwenye mikutano hatutoki kapa maana ndipo waetja walipo iendelee tu tuone na viongozi watakaoshinda watakuja na sera gani za kutusaidia sisi wapiganaji mtaani" amesema mmoja wa wafanyabiashara hao.

Akizungumzia utofauti uliopo wa kampeni zilizopita na sasa mmoja ya wafanyabiashara hao amesema kikubwa ni watu kuangalia jinsi wanavyoweza kutumia fursa hizo chache zinazojitokeza katika kipindi hiki.

Matarajio ya wafanyabiashara wengi wa bidhaa mbalimbali ni kukutana na fursa nyingi za kibiashara mara baada ya kuanza kwa kampeni za vyama vya siasa hali ambayo mpaka sasa bado haijaonesha kuchangamka sana.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali