Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara CocoBeach wachekelea baada covid19

Jumatano , 9th Sep , 2020

Wafanyabiashara katika fukwe za Coco jijini Dar es Salaam wamesema kuwa hali ya biashara imeanza kurejea tofauti na miezi mitatu iliyopita wakati wa janga la Covid 19 lililosababisha watu wengi kufanya kazi wakiwa nyumbani na hivyo kupunguza idadi wa wateja katika eneo hilo.

Mmoja wa wafanyabiashara katika eneo la Coco Beach akiandaa sharobati ya miwa.

Wakizungumza na EATV wafanyabiashara hao Bernard Mwinuka na  Ashrafu Mwalami wamesema kuwa, kwa sasa hali imechangamka kwani Watu wameanza kufika katika fukwe hizo kwa wingi tofauti na kipindi cha miezi mitatu ambapo wamefafanua kupata hasara kiasi kilichosababisha wengi wao kupoteza mitaji yao.

Wamesema licha ya wateja wao wengi kuwa ni raia wa Tanzania lakini eneo hilo lililikuwa kivutio kikubwa kwa watalii kutoka nje ya nchi ambao hupendelea kutembelea fukwe hizo pamoja na kupata huduma zitolewazo eneo hilo ikiwa ni pamoja na kitoweo cha mihogo na bidhaa za kitamaduni.

“Kipindi cha mlipuko wa Corona hali ilikuwa mbaya, ukweli tunashukuru jitihada zilizofanywa na serikali katika kuhakikisha inadhibiti maambukizi ya virusi hivyo ikiwa ni pamoja na mikakati ya kujikinga ikiwemo unawaji wa mikono pamoja na uvaaji wa barakoa"amesema Mwinuka.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali