Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vodacom kuwaongezea miamala wateja

Jumatano , 10th Jul , 2019

Kampuni ya Mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, imeanzisha huduma inayomuwezesha mteja, kuongezewa muamala wa pesa pindi anapopungukiwa.

Mkurugenzi wa M-pesa Epimark Mbeteni.

Akizungumza Jijini Dar Es Salaam, Mkurugenzi wa M-pesa Epimark Mbeteni amesema, huduma hiyo imekuja kwa kushirikiana na benki ya TPB, na kwamba ushirikiano huo utaweza kutatua matatizo ya kifedha yanayojitokeza.

''Hii ni huduma ambayo itaweza kumsaidia mteja kukamilisha muamala uliopungua, wakati wa kununua Luku, kutuma pesa, au wakati wa kununua bidhaa mbalimbali''.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Benki hiyo, Mkurugenzi wa vihatarishi wa TPB, Mosses Manyata amesema, huduma hiyo iliyopewa jina la Songesha na M-pesa, ni mtatuzi wa matatizo ya ghafla kwa mteja, wakati wa kutuma pesa ama kulipia bili mbalimbali.

Hii ni mara ya pili sasa kwa Kampuni ya Vodacom, kuungana na Benki hiyo, na kutoa huduma inayohusisha na kugusa maisha ya watanzania wengi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali