Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viwanja vya sabasaba kufanyiwa maboresho

Jumatano , 21st Sep , 2022

Zaidi ya  shilingi bilioni mbili zinatarajiwa kutumika kukarabati miundombinu ya barabara za ndani ya viwanja vya maonesho ya kimataifa ya Julius Nyerwre maarufu kama sabasaba kufuatia miundombinu hiyo kuchakaa 

Akizungumza leo jijini Dar es salaam wakati wa kikao cha tathimini juu ya maonesho ya 46 ya kimataifa ya biashara yaliofanyika mwezi Julai mwaka huu Kaimu Mkurugenzi wa idara ya ukuzaji biashara  kutoka tantrade Fortunatus

Muhambe  amesema TANTRADE wanaendelea kufanya marekebisho baada ya maoni ya wadau ikiwemo kulalamikia changamoto ya miundombinu. vyoo. na siku za maonesho ambapo kuhusu siku za maonesho bado wataendelea kujadiliana na wizara.

Kwa upande wake kaimu mkurugenzi wa mamalaka ya biashara tantrade twilumba mlelwa amesema maonesho ya kimataifa ya 46 yaliomalizika  mwesi julai mwaka huu yamekuwa na mafanikio makubwa ikiwemo ongeseko la washiriki wa ndani na nje huku pia yakionekana kukua katika utoaji elimu kwa wqfanayabaishara.

Nao baadhi ya wadau wa mamlaka ya baishara nchini tantrade wamesema  changamoto kubwa katika maonesho ya kimataifa ya baishara ni  pa moja na miundombinu kuwa mibovu.kodi kubwa pa moja na na meneo mwngìne ambayo ymekuwa kikwazo kwa washiriki.

Katika maonesho ya kimataifa ya 46 ya baihsara yaliohitimishwa julai mwaka huu jumla ya wahudhuliaje lakitatu walishiriki .huku makampuni ya ndani yakiongezeka na kufikia 76 kati ya makampuni 3200 yakioshiriki huku mikataba ya shilingi bilioni 176 ikisaniwa

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu