Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TRA yajinasibu kuanzisha vituo vipya zaidi

Alhamisi , 24th Sep , 2020

Mamlaka ya Mapato nchini imewataka wananchi kuendeleza utaratibu wa kulipa Kodi mbalimbali kwa wakati huu ambao mamlaka hiyo huendelea na utaratibu wa kuanzisha vituo vipya vya huduma za kikodi kwa mlipa kodi.

Mkurugenzi wa Elimu kwa mlipakodi TRA Richard Kayombo

Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Elimu kwa mlipakodi Richard Kayombo mara baada ya kutembelea kituo kipya cha huduma za kikodi kilichoanzishwa eneo la Chanika jijini Dar es salaam akieleza kwa sasa huduma mbalimbali zitapatikana hapo huu ukiwa ni mikakati wa Mamlaka hiyo kusogeza huduma karibu zaidi kwa wananchi.

"Kuanzishwa kwa kituo hiki cha huduma za kikodi hapa Chanika itawasaidia wafanyabiashara wengi kupata huduma kirahisi zaidi tofauti na umbali mrefu uliokuwa ukiwakabili TRA ni yenu msisite kuzitembelea ofisi hizi na kuuliza huduma yoyote"-Richard Kayombo.

Kwa upande wao wafanyabiashara Katika eneo hilo la Chanika wamesema wamekuwa wakipata changamoto ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma za kikodi hali ambayo wengi walitumia pia mwanya huo kukwepa ulipaji wa kodi stahiki kwa wakati.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali