Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaanza kupitia miradi ya kimkakati ya PPP

Jumanne , 2nd Mei , 2023

Serikali yakutana na wakuu wa mashirikia ya umma saba ya kimkakati na wabobezi wa uwekezaji wa ubia ya sekta ya umma na sekta binafsi kwa lengo la kubadilishana uzoefu utakaosaidia kuvutia mitaji ya kiasi cha dola za kimarekani Bilioni 9 sawa na shilingi trilioni 21 ndani ya miaka mitano

 

Akizungumza katika warsha hiyo Kamishina wa Ubia ya sekta ya Umma na sekta binafsi (PPP) David Kafulila amesema kuwa hatua hiyo ya kukutana na mashirika hayo yenye lengo la kujadili sekta mbili ikiwemo sekta ya miundombinu ya umeme pamoja na sekta ya uchukuzi inatazamiwa kuleta chachu ya kukamilisha miradi mbalimbali ya ubia nchini.

Aidha, Kafulila amebainisha kuwa wapo katika hatua ya kutafuta muwekezaji kwaajili ya ujenzi wa barabara kati ya kibaha mpaka morogoro , ikiwa na mgawanyo wa sehemu mbili ya ujenzi huo.

Nae Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Jenifa Omolo amebainisha kuwa hatua ya ujenzi wa barabara hiyo ambayo inatarajiwa kujenga katika mradi huo wa ubia utaweza kuchangia na kunufaisha sekta mbalimbali ikiwemo kilimo na kusaidia wakulima kusafirisha mazao yao kwa muda mfupi tofauti na kutumia muda mwingi katika usafirishaji wa mazao hayo.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali