Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kutumia Bilioni 30 kwenye nishati mbadala

Alhamisi , 8th Jun , 2023

Serikali imetenga zaidi ya shilingi bilioni 30 kwa ajili ya kusambaza,kununua vifaa vya nishati mbadala ambavyo itavisambaza nchi nzima ili kutimiza azma ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kumtua mama kuni kichwani.

Waziri wa Nishati January Makamba

Kauli hiyo imetolewa na waziri wa Nishati January Makamba wakati mafunzo ya Namna ya kutumia Nishati mbadala kwa mama lishe na vijana yaliyolenga kuongeza tija katika uzalishaji huku mwenyekiti wa mtandao wa kukuza wanawake kiuchumi TAWEN akiwataka sasa wajasiriamali kuuvaa uhusika kamili katika mazingira

Baadhi ya wadau wa nishati mbadala mama lishe na vijana wamesema mpango huo utawasaidia kina mama wengi kuondokana na ukatili ambao umekuwa ukiwapata kutokana na kutafuta kuni maporini huku familia wakiwa wameziacha nyumbani kwa muda mrefu.

Nae Mtaalamu wa Nishati mbadala ameitaja sekta hiyo kama mwokozi wa rasilimali mbalimbali kama miti huku ikichagiza uzalishaji kwa kipindi chote iwe mvua ama jua mama lishe na vijana wajasiriamali watakuwa na uwezo wa kufanya kazi zao kwa weledi zaidi.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma