Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serie A Kuunguruma Wikiendi hii, Milan vs AS Roma

Jumapili , 10th Jan , 2021

Serie A Kuunguruma Wikiendi Hii, Jiji la Milan vs Rome!! Inter Milan Kuwavaa AS Roma Jumapili Hii!

Ligi Soka nchini Italia – Serie A kutupa burudani safi Jumapili hii. Inter Milan vs AS Roma sio mchezo wa kuubeza.
Huu ni mchezo unaozikutanisha timu 2 zenye majina makubwa na heshima kubwa kwenye Serie A. Unatukumbusha majina ya wachezaji kama Ronaldo De Lima na Fransisco Totti miongoni mwa magwiji waliocheza kwenye vilabu hivi.

Msimu huu kila timu imekuwa na matokeo ya aina yake. Katika mashindano ya Ulaya, Inter wameangukia pua msimu huu wakitupwa nje ya Ligi ya Mabingwa na kuikosa Ligi ya Europa. Roma wao wamefuzu hatua ya mtoano kwenye Ligi ya Europa kwa kuwa vinara wa kundi lao.

Katika michezo 6 ya mwisho kwa kila timu, Inter na Roma wote wamepoteza mchezo 1 na kushinda michezo 5. Roma anaingia kwenye mchezo huu akitoka kwenye ushindi dhidi ya Crotone. Inter anaingia kwenye mchezo huu akiwa na machungu ya kufungwa na Sampdoria kwenye mchezo uliopita.

Kitakwimu, katika michezo 60 ambayo Inter wamechuana na Roma, Inter ameshinda 21, Roma kashinda 17 na wametoka sare mara 22.

Kwa upande wa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja, ni vita kati ya wachezaji wawili ambao walitua kwenye vilabu hivyo wakitokea EPL. Henrik Mkhitaryan dhidi ya Romelu Lukaku hapatoshi Jumapili hii.

Mchongo mzima upo Meridianbet. Wataalamu wa Meridianbet wamekuwekea odds za mchezo huu hapa.  

Jisajili na Meridiabet hapa hapa.  na furaha yako itaanzia hapo. Pakua App ya Meridianbet kwenye simu yako na uanze kubashiri kwa uhuru nyumbani kwako. Pia, unaweza kuweka pesa kwenye akaunti yako kupitia KwikPay, M-PESA au Airtel Money. Kumbuka, daima hauwezi kupoteza tiketi yako ya kwanza ukiwa na Meridianbet, tuna Bonasi ya 100% inakusubiri.

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA