Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Parimatch yazinufaisha timu za Tanzania 

Alhamisi , 20th Aug , 2020

Kampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya Parimatch Tanzania leo imetimiza adhima yao ya kusaidia timu zenye uhitaji muhimu na ambazo ziliweza kushiriki katika kinyang’anyiro cha shindano la Amsha ndoto ambalo linaendeshwa kisasa mtandaoni kwa kuwapatia jezi, mipira pamoja na bibs za kufanyia m

mazoezi.

Shindano hilo ambalo lilizinduliwa rasmi mnamo Julai 21 mwaka huu jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Utawala na Udhibiti wa Parimatch Tanzania, Tumaini Maligana na kuzitaja timu hizi kuwa ni Lifofo fc inayotokea Kawe, Bonyokwa fc iliyopo Tabata Segerea, Tambaza ya Kariakoo pamoja na Ilala United iliyopo katikati ya jiji la Dar es Salaam.

Aidha, Maligana amesema kuwa, Parimatch imejengwa katika misingi ya kusaidia jamii na kwamba Kampeni ya Amsha ndoto ni miongoni mwa sehemu ya kurudisha kupitia eneo la michezo.

"Tunafahamu michezo ni nguzo muhimu za burudani na afya hususani kwa vijana lakini pia kwa uendelevu wake, michezo ni ajira pia na ndio maana tukaamua kujikita katika timu ambazo hazipo katika daraja lolote zenye ndoto ili kusudi waweze kujiajiri kupitia michezo. Sisi kama Parimatch kwa uwezo tuliokuwa nao tutaweza kufanya kila liwezekanalo ili kuamsha ndoto za vijana zitimie na huu ni mwanzo tu lakini tutakapoona wadau wengine wa michezo wanaungana nasi katika hili baasi hii Amsha Ndoto itakuja kuwa ni kitu kikubwa sana", amesema Maligana.

Pamoja na hayo, Maligana amewasisitizia vijana na wamiliki wa timu mbalimbali kuendelea kuchangamkia fursa kupitia tovuti ya https://pma.bet/amshandoto  ili kusudi wapate kufikiwa kwa uwepesi.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto