Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nchi 15 za Afrika zajadili utunzaji wa bahari

Jumatatu , 12th Dec , 2022

Nchi 15 za bara la Africa zimekutana nchini Tanzania na kufanya kongamano lililolenga kupeleka ujumbe katika nchi hizo Kwa ajili ya kupata uelewa wa mkataba wa kimataifa ambao nchi hizo zitaufuata na kuweka sheria na kanuni juu ya namna bora ya kudhibiti uharibifu baharini

Akizungumza katika kongamano Hilo litakalodumu Kwa muda wa siku tatu kuanzia Leo Naibu Katibu Mkuu wizara ya ujenzi na uchukuzi Dkt Ally Possi amesema Mkutano huo ulioandaliwa na Shirika la kimataifa la IMO na Tanzania kuwa mwenyeji unaumuhimu Kwa nchi ya Tanzania kwani utaiwezesha nchi kuzingatia makubaliano ya kiitifaki ya sheria ya kimataifa ya kuhakikisha vyombo vya usafiri wa Maji havichafui bahari, maziwa na mito Kwa sababu ya utunzaji wa mazingira katika maji

Amesema Kwa Sasa Hali ya utunzaji wa mazingira katika maji ni nzuri na tahadhari zinaendelea kuchukuliwa Kwa ajili ya kulinda viumbe waishio baharini, ziwani na kwenye miyo.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la uwakala wa meli Tanzania-TASAC, Kaimu Abdi Mkekenge ameeleza kwamba Mkutano huo utaiwezesha nchi kufanya vizuri zaidi katika kuiwezesha nchi kufikia uchumi wa bluu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali