Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meridian Bet yawasaidia wanaougua uti wa mgongo

Jumapili , 14th Mar , 2021

Kampuni ya Kubashiri ya Meridian Bet imetoa msaada wa vifaa tiba kwa Wanaougua uti wa mgongo nchini kutokana na kuwepo kwa changomoto ya wagonjwa wa uti wa mgongo  wengi ya kutomudu gharama ya vifaa tiba.

Afisa Huduma wa jamii wa Meridian Bet,  Amani Maeda na Meneja mwendeshaji, Corrie Borman wamekabidhi msaada wa vifaa tiba mbalimbali kwenye Taasisi ya watu wanaougua uti wa mgongo nchini.

Akizungumza, Maeda amesema kampuni yao imeendelea kutoa mkono wa faraja kwa wahitaji na jana imekabidhi vifaa tiba ikiwamo Urine bags, malt external catheter na sanitary pads kwenye Taasisi hiyo nchini.

Akizungumza kwa niaba ya mwenyekiti wa Taasisi , Haidan Shayo, mmoja wa wanachama, Abdul Ally alisema wagonjwa wengi wa uti wa mgongo wamekuwa na changamoto ya kumudu gharama ya vifaa tiba.

"Wenye changamoto hii uwa tunashindwa ku-control haja, hivyo tunahitaji kuwa na 'urine bag' au pempars ili kujistri, lakini kutokana na gharama kuwa kubwa, wengi wetu tunalazimika kutumia khanga," alisema Ally jana wakati akipokea msaada wa Meridian Bet.

Mwanachama mwingine, Masha Mbise ambaye aliugua uti wa mgongo baada ya kugongwa na gari aliishukuru Meridian Bet kwa sapoti hiyo na kuziomba kampuni nyingine kuiga mfano wa Meridian Bet.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali