Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama la Mama Tumaini Anania akabidhiwa zawadi

Jumapili , 9th Mei , 2021

Kampeni ya Mama la Mama iliyokuwa inaendeshwa na kituo cha East Africa Television,  imefikia kilele leo Mei 9, 2021, kwa kumkabidhi mshindi wa mama bora ambaye ni Tumaini Anania, zawadi zake mbalimbali ikiwemo hundi ya shilingi milioni moja.

Mbali na milioni moja, mshindi huyo pia amekabidhiwa jiko la gesi la Kisasa, King'amuzi cha DSTV pamoja na mlo wa mchana kwenye hoteli ya Levant Masaki jijini Dar es salaam.

Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa zawadi zake Mama la Mama huyo Tumaini Anania, amewashukuru wadau walioendesha shindano hilo na kusema kuwa zawadi hizo zitamsaidia kujikwamua kiuchumi ikiwemo kuendeleza biashara alizokuwa anaziendesha yeye na Mwanaye.

Kwa upande wa wadhamini wa kampeni hiyo Benki ya UBA, Jaden Store, Dstv, Lavante na Eatv wamesema lengo la kampeni hiyo ni pamoja na kumsaidia mwanamke kujikwamua kiuchumi lakini pia kujali umuhimu wa Mama duniani ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya Mama Duniani.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali