Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kijana anavyoweza tengeneza pesa kirahisi

Ijumaa , 3rd Aug , 2018

Imeelezwa kuwa vijana wengi hasa wanafunzi wa ngazi mbalimbali za elimu wanaweza kutumia fursa walizonazo katika mazingira yanayowazunguka kupata pesa, na moja ya njia hizo ni kutambua kile walichonacho hasa akili na miili yao katika kuitumia na kuanzisha mtaji .

Pesa za Kitanzania

Mmiliki wa  taasisi  inayojihusisha na kuwasaidia  wanafunzi, inayotambulika  kwa jina la SAVE THE STUDENTS kutoka Uingereza, Owen Burek   aliyoianzisha mwaka 2007 akiwa mwanafunzi wa  chuo kikuu cha Manchester , anasema namna ya mwanafunzi kutengeneza pesa,  ni kutumia mtaji wa kwanza ambao ni kuuza elimu yake anayoipata chuoni au shuleni.

Katika nukuu yake Burek anasema "waweza kupata pesa kwa kuanza kuandika vitabu, kufanya kazi za vibarua, kuanzisha biashara mtandaoni,kutumia kipaji kama kuigiza au kuchekesha,kupangisha chumba au nyumba yako na pia kutafuta kazi ya kusambaza huduma hasa chakula”.

Aidha taasisi hiyo ya 'SAVE THE STUDENTS' inaeleza kuwa mwanafunzi anaweza kutumia mwili wake kama mtaji kwa kujiunga na kampuni za mitindo au kufanya kazi za kutumia nguvu ila siyo kutumia mwili kwa matokeo hasi, pia kuanzisha kurasa za kuzungumzia mijadala ya mahusiano au hoja yoyote katika mtandao ambayo inaweza kugusa hisia za watu na kutumia kuzalisha kipato.

Kwa upande wake bilionea na mmiliki wa kampuni ya uzalishaji wa filamu duniani (ALIBABA) Jack Ma(kutoka China) ambaye ni Mwanafalsafa katika nukuu yake anasema “wenye ujuzi huwatumia wapumbavu kusonga mbele, bila mtandao hakuna Jack Ma, mwanafunzi atakayeitambua teknolojia vizuri ndiyo njia ya kukuza uchumi wake, na usipokata tamaa ndiyo njia ya kushinda”.

Kulingana na ripoti ya Baraza la Vyuo Vikuu Afrika Mashariki (IUCEA) ya mwaka 2014 inaonesha kuwa wanafunzi wanaohitimu elimu ya sekondari na  vyuo vikuu ni 600,000 mpaka 800,000 kwa mwaka , na wanafunzi hao ni sehemu ya asilimia 54 ya wasiopata ajira huku asilimia 61 hawakidhi viwango katika soko la ajira.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali