Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hizi ndio sifa za Mwekezaji anayetakiwa Tanzania

Alhamisi , 22nd Apr , 2021

Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) imesema kufuatia uwekezaji uliofanywa katika mradi wa Mlimani City unaosimamiwa na mwekezaji Mlimani Holdings Limited kusaidia katika kupatikana kwa ajira zaidi ya elfu mbili na kodi za serikali inatarajia kufungua miradi kama hiyo Dodoma na Arusha.

Muonekano wa Jengo la Ofisi za Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).

Kauli hiyo imetolewa hii leo mara baada ya ujumbe wa wataalamu kutoka Kutoka Kituo Cha Uwekezaji TIC waliotembelea kwa mwekezaji huyo ili kutazama changamoto alizopitia mara baada ya Covid-19 na changamoto zingine ili kuzipatia ufumbuzi.

Amesema serikali inaendeleza kuweka mazingira kwa kasi ikiwataka wawekezaji wa ndani na nje kuzidi kujitokeza kwa kuwa nchi ya Tanzania ina mazingira tulivu ya kisiasa.

"Tunatarajia Uwekezaji kama huu kufanywa katika Jiji la Dodoma utasaidia ajira na kodi kwa Serikali  sisi kama serikali TIC tunazidi kuwakaribisha wawekezaji wa ndani na nje", amesema Bevin Ngize.

Kwa upande wa mwekezaji huyo amesema Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuwatambua wawekezaji kuwasaidia akibainisha wako tayari kuendesha miradi hiyo popote hapa nchini kwa kibali cha serikali.

"Mradi huu tangu mwaka 2004 umeanza Hapa kuna biashara za aina zote kumbi za mikutano na mazingira haya ambayo serikali yametupa nafuu sisi kama wawekezaji", amesema Mroso.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA