Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hali ya biashara sokoni Kariakoo kuelekea x-mas

Jumatatu , 12th Dec , 2022

Mamlaka ya mapato nchini TRA kupitia tawi la kariakoo imetoa onyo kwa wafanyabiashara waliojipanga kufanya udanganyifu wa biashara hasa katika utoaji wa risiti za kielektroniki (EFD) hasa kuelekea katika kipindi hiki cha sikuu za mwisho wa mwaka.

Kariakoo soko la kimkakati likitajwa kama kitovu cha biashara ambalo mataifa mbalimbali ya jirani hununua bidhaa hapa ambapo Rai imetolewa na meneja wa TRA mkoa wa kikodi wa kariakoo kwamba wamejipanga kuhakikisha wateja wanakuwa na uelewa wa kutosha kuhusu kodi na taarifa sahihi.

Hata hivyo amesema kwa sasa mamlaka inajipanga zaidi kuitumia teknolojia kwa usajili wa wamachinga ambapo hadi sasa zaidi ya wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga 5373 wamesajiliwa

Licha ya soko la kariakoo kuwa na eneo dogo la kijiografia lenye square mita za mraba 3.47 linatajwa kuwa na wafanyabiashara takribani elfu thelathini ambapo kwa kipindi hiki mamlaka imejipanga kukusanya takribani shilingi bilioni 19.5.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali