Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

FCC na ZFCC zajipanga kudhibiti bichaa bandia 

Alhamisi , 26th Mei , 2022

Tume ya ushindani FCC kwa kushirikiana na Tume ya ushindani halali ya Zanzibar ZFCC zimejipanga kudhibiti uingizaji na uzalishaji wa bidhaa bandia ili kuchochea uchumi utakaolinda soko la ndani na Kumlinda mlaji 

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) William Erio amesema hayo wakati wa kuhutimisha ziara ya kikazi ya siku tatu kwaajili ya kutembelea  Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) ikiwa na lengo la kuimarisha mahusiano na kuangalia namna bora ya kutekeleza majukumu yao.

"Suala la biashara  si suala la muungano, kwahiyo sisi FCC tunashughulika na masuala haya ya kibiashara kwa maana ya kushajihisha ushindani, kulinda washindani katika shughuli zao na kumlinda mlaji kwa Tanzania bara ambapo na wenzentu wanafanya hivyohivyo kwa upande wa Tanzania Zanzibar" Alisema William Erio ambaye ni Mkrugenzi Mkuu Tume ya ushindani Tanzania FCC

Aidha Mkurugenzi huyo alisema Serikali ya awamu ya sita imejikita katika kuimarisha uwekezaji Kama njia mojawapo Kuu ya kuleta mitaji na kukuza uchumi wa nchi yetu Kama vile inavyofanya serikali ya awamu ya nane kule Tanzania Zanzibar.

Kwa upande wa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani halali ya biashara Mohammed Sijari Mohammed amesema  kuwa Zanzibar inaendelea kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji na kufanya mapitio ya baadhi ya sheria ikiwemo sheria ya maendeleo ya viwanda ambayo itawezesha wananchi kunufaika  na bidhaa zinazozalishwa viwandani.

"Kwa upande wa Zanzibar kuna jitihada kubwa zinafanyika za makusudi kwake Mhe. Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi kwa kuweka mazingira bora ya biashara na kudhibiti ushindani" alisema Mohammed Sijari Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani - ZFCC

Miongoni mwa mambo ambayo ZFCC imejifunza kutoka Tume ya Ushindani Bara ni pamoja na masuala ya ukaguzi na udhibiti wa bidhaa bandia ,taratibu za kanuni na sheria ,na masuala ya muunganiko baina ya kampuni.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu