
Picha ya Mark Zuckerberg Mkurugenzi Mtendaji wa Facebook
Afisa mkuu mtendaji wa Facebook, Mark Zuckerberg ana mpango wa kuzungumzia juu ya mabadiliko ya jina na kuweka wazi jina jipya kwenye mkutano wa kila mwaka wa kampuni hiyo wa “Annual Connect Conference” tarehe 28 Oktoba mwaka huu.