Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EATV yakabidhi kapu la tatu wiki ya wateja

Alhamisi , 8th Oct , 2020

Kituo cha redio cha East Africa Radio kupitia kipindi chake cha Supa Breakfast kwa kushirikiana na Royal Oven Bakery kimekabidhi zawadi kwa mtoa huduma bora kutoka Silver ze smart dread’z, Silver Lonarick kufuatia kupata ushindi kwa kutoa huduma bora kwa wateja.

Muandaaji wa kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, Mackriner Siyovelwa akimkabidhi zawadi kutoka Royal Oven Bakery Silver Lonarick kutoka Silver ze smart dread’z.

Kampeni hiyo ya kuwazawadia watoa huduma bora katika Wiki ya Huduma kwa Wateja inaendeshwa kupitia wasikilizaji wa East Africa Radio ambao hupiga simu na kuelezea namna ambavyo dawati la kutoa huduma kwa mteja katika taasisi husika lilivyosaidia kutatua tatizo lao.

Akizungumza baada ya kupatiwa kapu hilo Silver Lonarick amesema kuwa mteja kwake ni mfalme na wamekuwa wakitoa huduma kwa hali ya upendo zaidi.

Kwakweli sikuamini kama ipo siku huduma ninayotoa kwa wateja wangu itapelekea kuzawadiwa tena na chombo cha habari kikubwa, nilikuwa nafikiria huwa wanapangwa watu kumbe kweli”, amesema Silver.

Kwa upande wake Muandaaji wa Kipindi cha Supa Breakfast Mackriner Siyovelwa baada ya kukabidhi zawadi hiyo ya kapu lililoshehena vitafunwa amewataka wasikilizaji kuendelea kupendekeza majina ya watoa huduma wao bora ikiwa kesho ndio kilele.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali