Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Coca Cola Kwanza yawaleta karibu wadau na wateja

Ijumaa , 24th Mei , 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Coca Cola Kwanza Basil Gadzios, amesema kampuni hiyo itaendelea kukutana na kuwa karibu na wateja wake kupitia hafla mbalimbali wanazoziandaa.

Wadau mbalimbali wakipata chakula cha jioni (Futari) kilichoandaliwa na Coca Cola Kwanza.

Hayo ameyasema leo Mei 24, 2019, kwenye hafla ya chakula cha jioni wakati huu wa mfungo wa Ramadhani (Futari), iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es salaam.

''Tumejumuika hapa kwenye chakula cha jioni ikiwa ni sehemu tu ya kampuni yetu kuwakumbuka wateja wetu wakati huu wa mfungo na huu ni mwanzo tu, tutaendelea kufanya hivi kwa makundi yote'', - amesema.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Coca Cola Kwanza, Haji Mzee Ally, amesema wamejisikia vizuri kupata baraka za Ramadhani kwa kuandaa futari hiyo kwaajili ya waislam na wadau wao kwa ujumla.

Hafla hiyo imehudhuriwa na wadau kutoka vyombo tofauti vya habari, pamoja na wateja mbalimbali wa vinywaji vinavyotengenezwa na kampuni hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali