Mkuu Wa kitengo cha Masoko kutoka CRDB, Joseline Kamuhanda
Akizungumza katika maonesho ya kimataifa ya biashara Sabasaba, Mkuu Wa kitengo cha Masoko kutoka CRDB, Joseline Kamuhanda, amesema mafunzo hayo yanatarajiwa kutolewa tarehe 16 mwezi huu na yatashirikisha wadau mbalinbali wa masuala ya biashara wakiwemo Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), na Wakala wa Usajili Biashara na Leseni (BRELA).