
Mgombea urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe.

Mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT- Wazalendo Bernard Membe.

Mlinzi wa Liverpool Virgil Van Dijk alipokumbana na mlinda mlango wa Everton, Jordan Pickford ambapo baada ya kugongana nae aliondolewa uwanjani.

Kikosi cha KMC kikijinoa kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Ruvu Sooting

Kiungo wa klabu ya Simba, Jonas Mkude akionekana wa kwanza kushuka kwenye ndege baada ya kusasili jijini Mbeya.

Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa MSD Laurean Bwanakunu.

Mgombea Urais Zanzibar, kupitia Chama cha Wakulima (AAFP), Said Soud Said

Kushoto ni mgombea ubunge wa jimbo la Hai Freeman Mbowe, na kulia ni mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya.
Msanii Killy kushoto na Alikiba wakati alipokuwa Kings Music