.jpg?itok=13C_nHRa)
P square wakisalimiana na waandishi wa habari mara walipowasili uwanja wa taifa wa ndege Mwl. Julius Kambarage Intl. Airport,
_0.jpg?itok=4ohgE0Jy)
p square wakiwasiliana na mashabiki wake walipowasili uwanja wa ndege.
.jpg?itok=yBNyCmDV)
Wasanii wa Bongo wakiwa pamoja na P square mara baada ya kuzungumza na waandishi wa Habari.
 (Custom).jpg?itok=VIWuymMs)
P square wakiongea na waandishi wa habari siku kabla ya Tamasha
.jpg?itok=FuoodGBC)
P square wakijadiliana jambo na lady Jay D kabla ya kufanya show.
_0.jpg?itok=A1_0L75Y)
Gadner Habash akiwa na wasanii wa kundi la Hip Hop la kizazi kipya la Weusi wakipozi kwa picha ya pamoja.
.jpg?itok=3MwZ9Zx8)
Mtangazaji maarufu wa East Afrika television Dulla akiwa na floor Manager Dickson wakifurahia tamasha.
.jpg?itok=A04BbZAV)
Msanii mkali wa Hip Hop nchini Nikki wa pili akiwa nyuma ya jukwaa akisubilia kupanda kwenye steji.
.jpg?itok=N48sJ3Dx)
Pro. Jay akiwa na marafiki zake kwenye picha ya pamoja.

Vijana wa East Africa Television Dulla na Tbwai 360 wakiwa stejini wakiendeza tamasha la P square live in Dar
.jpg?itok=dupH4dOf)
Ben Paul akifungua steji la burudani kabla ya kuwakaribisha P square.

Ben Paul akiumwayamwaya moyo wake na kupagawisha mashabiki waliofika kumshuhudia.
_0.jpg?itok=A8Jhlumh)
P square wakileta burudani mwanana jukwaani huku wakionyesha staili zao maarufu za kudansi.

Prof. jay naye akiwakumbusha mashabiki kwamba bado yupo na bado kwa kutoa burudani mwanana.
.jpg?itok=Hfh5sf5m)
P square wakionyesha ujuzi wakutumia vyombo mbali mbali vya muziki.
.jpg?itok=7U_s8lbW)
Mashabiki waliofika kushuhudia tamasha hilo la kufunga mwaka.
.jpg?itok=8p9Kutbo)
P square wakiongea na mashabiki katika burudani.
.jpg?itok=UcKhWrLH)
Mkali wa Joto hasira Lady jayd akitumbuiza jukwaani na nyimbo zake maarufu.
_0.jpg?itok=Z57DqTno)
Mashabiki wakisherekea tamasha la P square.
.jpg?itok=DGpB47Cg)
Peter wa Psquare akionyesha kufurahishwa hadi kuvua shati kuleta burudani zaidi.
.jpg?itok=GFkJFMmX)
peter akiwaimbia kwa hisia mashabiki wake.
.jpg?itok=2-8HGxmO)
Mrembo a.k.a beautiful Onyinye aliyepata fursa ya kupanda stejini na kupewa saa ya Peter wakati wa tamasha.
.jpg?itok=ume6XsR1)
Mashabiki wakifurahia tamasha hilo.
_0.jpg?itok=Zyr0lc09)
.jpg?itok=jc3k0L9R)
P square wakionyesha umahiri wwao wakutawala steji na dansi.
_0.jpg?itok=6W3obqGv)
.jpg?itok=z6xmtfBA)
P square wakiwashukuru mashabiki wao kwa kufika.
_1.jpg?itok=3kE2QVDh)