Pili Hussein ni mwanamama wa kwanza kuzama katika migodi ya Mirerani na kuchimba madini ambaye kwa sasa ni mmiliki wa kitalu cha madini.
Watumishi wakiwa nje ya Jengo la Mwaisela lililopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo