Picha ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni moja ya kumbukumbu muhimu zinazopaswa kutunzwa.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013