Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa HakiElimu, Godfrey Boniventura (kulia) akiwa na Msemaji wa shirika hilo Elisante Kituro.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.