Wanachama wa UWT Jimbo la Arusha mjini wakimshangiria Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (pichani hayupo katika mkutano wa mwisho wa ndani wa CCM.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.