Afisa Masoko na elimu kwa umma wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Bw. Rajabu Mwenda (kulia) akizungumza na waandishi w habari katika ofisi za mpango huo hivi karibuni.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013