Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mnyaa Mbarawa.
Ephraim Kwesigabo, mkurugenzi wa sensa na Takwimu za kijamii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu nchini Tanzania.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.