Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Tanzania Bw. Peter Kuga Mziray.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba nchini Tanzania, Deus Kibamba.
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Tandari iliyopo Mkoani Morogoro Seleman Shemsanga
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.