Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Sophia Simba.
Makamu mwenyekiti wa Umoja wa wabunge wanawake wa nchi za Jumuiya ya madola kanda ya kaskazini, Beatrice Shelukindo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013